Daraja la Karanga Tangu Mwaka 1939

Daraja la Karanga, Zamani lilikuwa linaunganisha kati ya Moshi na Arusha ilikuwa ndiyo barabara kuu. Lilijengwa na Waitaliano mwaka 1939-1945. Mpaka sasa hivi hili daraja lipo, Je madaraja tunayojenga sasa hivi inakuwaje hayadumu? Uchakachuaji umezidi lete maoni yako na kwa wale wanaolifahamu lete habari zaidi.

Read more...

Mlonge



Raisi Mstaafu wa Msumbiji akipata maelezo kutoka kwa mmoja wa wadau wa miti wa milonge huko Bagamoyo


Majani ya Mlonge yakiwa yameanikwa kwenye chumba chenye giza ili isipoteze ubora wake kwa ajili ya kusagwa na kutoa unga ambao unaweza kutumiwa kwa matumizi mbali mbali.

Read more...

About This Blog

  © Blogger template Shush by Ourblogtemplates.com 2009

Back to TOP